Kitabu chetu cha Mpango wa Biashara kitakuwa na sehemu hizi
1. Taarifa za Kikundi: Jina la kikundi, wanachama, na malengo.
2. Wazo la Biashara: Tunauza nini na kwa nini ni maalum.
3. Uchambuzi wa Soko: Nani wateja wetu na waushindani wetu.
4. Mpango wa Fedha: Gharama, bei, na makadirio ya faida.